Pale ambapo Pastor aliamua kuyakatili maisha ya mke wake mjamzito ili ampate muumini wake
Philip ambaye tayari alianza kuwa na uhusiano na muumini huyo huku mke wake Anne Karissa akiwa anajua kinachoendelea kati yao, lakini aliamua kumsamehe.
Pamoja na upendo wa mke wake kwake
mchungaji huyo aliona hiyo haitoshi na kufanya uamuzi wa kumzamisha mke
wake kwenye maji hadi kusababisha kifo chake pamoja huku akiwa na
ujauzito.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia
No comments:
Post a Comment