Baada ya ile hit ‘Kuchi Kuchi’ ya staa wa Nigeria, J’odie kaja na video mpya ya ‘Right Now’
Video imefanywa ndani ya Nigeria kwa mikono ya director Ichiban Kukardi, wimbo ulitengenezwa na producer David Nnaji.
Unaambiwa ile ya kwanza ilikuwa hit miaka miwili baada ya J’odie kuiachia 2011,
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia
mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment