NINYI WAAANDISHI SIKIENI--------NDIVYO ANAVYOONEKANA KUSEMA KAIMU KAMANDA WA POLISI MKOA WA TANGA
Kaimu kamanda wa polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki,
akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuzungumzia masuala mbalimbali ya kiusalama
na yakihalifu pamoja na upitishaji wa mihadharati aina ya mirungi na madawa ya
kulevya katika mipaka ya kuingia Tanga
No comments:
Post a Comment