Wasanii wa Hip Hop, Darasa na Stamina
Stamina
Wasanii wawili wenye majina makubwa wa Hip Hop
Tanzania, baada ya kurekodi wimbo wa pamoja halafu baadaye ikatokea ishu
ya kufutwa kwa sauti ya Darasa katika wimbo huo.
Darasa amesema kuwa alishirikishwa kwenye wimbo na Stamina lakini kesho yake asubuhi alishangaa kupigiwa simu na kumuambia kuwasauti yake wenye wimbo huo inafutwa kwa sababu wadau wa Stamina
waliousikiliza walimwambia hakukuwa na haja ya kufanya tena kazi ya
pamoja kwa kuwa mastaa hao waliwahi kufanya wimbo wa pamoja kitu ambacho
kimemsikitisha.
Darasa
Soudy Brown alimtafuta Stamina
ambaye amesema hakuridhishwa na wimbo huo ulivyotokea baada ya wadau
wake kuusikiliza na kusema wimbo huo haujakaa sawasawa kama
ilivyotakiwa.
Hakuna Stori itakayokupita mtu wangu,niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment