
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu msanii mkongwe BONGOFLEVANI,
Jaffarai leo ameachia single yake mpya akiwa amemshirikisha msanii
Kassim Mganga, wimbo unaitwa ‘Wakati‘ umefanywa na producer
Aloneym wa
Pesa Records.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram
Jaffarai ameweka picha ya cover ya wimbo huo na kuandika ujumbe huu; “
Mzigo ndo unaachiwa rasmi siku ya leo… Designed by@anko_k_tz“@
jaffaraijaffarhymes
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment