Wednesday, February 11, 2015

DIDIER DROBA AISADIA WATOTO ABIJAN

Didier Drogba atoa support hii nyumbani kwao Ivory Coast

didierTumewaona mastaa wakitoa support ya vitu mbalimbali kwenye jamiiv zao, mfano ikitokea dharura au tatizo fulani hata hapa Bongo tunawaona wakijitolea kusaidia.
Mshambuliaji staa wa timu ya  Chelsea, Didier Drogba ameamua kujenga clinic ya kwanza katika Jiji la Abijan, Ivory Coast kwa lengo la kusaidia jamii yake chini ya The Didier Drogba Foundation.
Hii ni ya kwanza kati ya zile tano ambazo Secretary ya Foundation hiyo, Guy Roland Tanoh aliahidi kwamba wamejipanga kuzijenga ndani ya Ivory Coast kwa ajili ya kusogeza huduma hiyo kwa watu.
wpid-wp-1423324589676Nahodha huyo wa zamani wa timu ya Ivory Coast, hivi karibuni alitumia ukurasa wake wa Instagram kushare taarifa hiyo pamoja na kuweka picha za maendeleo ya ujenzi wa clinic hiyo ambao unakaribia kukamilika “Happy to announce our 1st clinic in Abidjan is nearly finished !!!”
image2
files
Didier ameoanga kuchezesha mechi London Feb 18 ili kuchangisha pesa nyingine ambazo zitasaidia kukamilisha ahadi yake ya ujenzi wa clinic hizo.
didier
26550045-2
Roland alisema Didier aliona ni bora kujenga clinic hizo tano nyumbani kwao kuliko kujenga hospitali moja kubwa kwa kuwa hospitali moja isingeweza kuhudumia maeneo mbalimbali na kwa wingi kama ambayo clinic zinaweza kuhudumia watu hao.
Hakuna Stori itakayokupita mtu wangu,niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blog

No comments:

Post a Comment