Wednesday, February 11, 2015

OBAMA AIPENDEZESHA WHITE HOUSE

Michelle Obama kapendezesha sebule ya White House! Picha 3 za muonekano mpya…..

dininUkiingia kwenye nyumba yoyote ukakuta inapendeza mara nyingi huwa ni kazi ambayo imefanywa na mwanawake, Michelle Obama ambaye ni mke wa Rais wa Marekani naye ameamua kuzipendezesha upya sebule za White House kwa kuipamba na sasa ina muonekano mpya.
dinin
Si rahisi kuweza kuona mazingira ya ndani ya familia ya White House ya Ikulu ya Marekani lakini Michelle aliamua kuonyesha sehemu ya sebule ambayo ameweka nakshi kwa kutumia mapambo ya asili, sebule hiyo hutumika kwa ajili ya chakula pamoja na shughuli nyingine za kawaida ikiwemo Obama kufanya maongezi na wageni wake.
sitin
Sehemu hii sasa imekua moja ya vivutio, imekuwa ya kipekee… inavutia sana,”alisema mfanyakazi mmoja wa Ikulu.
OB
Hakuna Story itakayokupita mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment