Tuesday, February 10, 2015

MOTO WATEKETEZA GOROFA DAR

Ajali ya moto katikati ya Jiji la Dar es Salaam leo FEBRUARY 10…

DSCF3727Taarifa kutoka katikati ya Jiji Dar es Salaam, hali haikuwa shwari leo asubuhi, tukio kubwa ni ajali ya moto ambao ulianza katika majengo yanayomilikiwa na Shirika la Nyumba NHC.
Moto ulianza saa tatu asubuhi mtaa wa Libya na Mosque, ambapo ulishika katika majengo matatu ya ghorofa yaliyoongozana na kuunguza vitu ambavyo thamani yake haijafamika.
Vikosi vya Zimamoto vilifika na kuudhibiti moto huo huku wakiendelea na uchunguzi kujua chanzo cha moto huo.
Kamanda wa Polisi Suleiman Kova amesema hakuna mtu aliyefariki wala kuumia kutokana na ajali hiyo.
Hapa kuna picha za tukio hilo.
DSCF3540
DSCF3549
DSCF3569
DSCF3574
DSCF3577
DSCF3585
DSCF3594
DSCF3598
DSCF3616
DSCF3648
DSCF3660
DSCF3663
DSCF3674
DSCF3693
DSCF3727
DSCF3752

Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment