Friday, October 2, 2015

MTOTO WA AJABU AZALIWA LONDON

Mtoto alizaliwa bila sehemu ya kichwa na Ubongo, madaktari nao walikata tamaa lakini katimiza mwaka..

Jaxon Buell alizaliwa August 27 2014 huko Birmingham, Uingereza akiwa hana sehemu kubwa ya fuvu la kichwa pamoja na ubongo.
jason3
Wazazi wa Jaxon, Brandon na Brittany pamoja na mtoto wao wakiwa na nyuso za furaha
Wazi hao waliweza kukusanya kiasi cha dola 100,000 kutoka kwa watu mbalimbali ili kuokoa maisha ya mtoto wao tangu azaliwe na sasa ana miezi 13 na anaendelea vizuri.
jason4
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment