Wednesday, October 7, 2015

RC, MAHIZA AZINDUA SACCOSS YA SAKINA TANGA

  Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mwantumu Mahiza  (alievaa mtandio mweupe) akiangalia vitambaa za kazi ya kikundi cha Sakina Saccoss cha Maawal Woman Group cha Tanga  wakati wa uzinduzi wa kikundi hicho uliofanyika juzi. Kikundi hicho kiko na wanachama zaidi ya 150 Wilaya zote za Tanga.


No comments:

Post a Comment