Simu milioni 10 za Android zaathiriwa na kirusi
Kirusi hicho kinawapatia takriban dola 300,000 kila mwezi waliokianzisha.
Simu nyingi ambazo zimeathiriwa na kirusi hicho zipo nchini China
Ongezeko la simu zilizoathiriwa na kirusi hicho lilibainika na kampuni ya usalama wa mitandao Checkpoint na Lookout.
Kirusi hicho kinatoka familia ya Shedun by Lookout but Hummingbad by Checkpoint.
China ,India,Ufilipino na Indonesia zinaongoza katika mataifa yenye simu zilizoathirika.
BBC
No comments:
Post a Comment