Wachezaji na washabikiwa
wa timu ya wanawake Mkoa wa Tanga wakifurahia ushindi wa mabao 5 kwa bila baada
ya kuifunga timu ya wanawake Mkoa wa Kilimanjaro katika mchezo wa mpira wa
miguu wa wanawake Taifa Cup uliochezwa jana katika uwanja wa Mkwakwani Tanga.






No comments:
Post a Comment