Binti huyu alipiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii, baada ya hapo ni Stori!
Kwa mujibu wa mtandao wa The Mirror, msichana huyo akisimulia kwa machungu baada ya kifo cha baba yake alisema hakutegemea kama ipo siku baba yake angekasirika kiasi cha kujitoa uhai.
Kutokana na maadilili picha hizo hatutaziweka picha hizo
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment