Huyu kaamua kuingia na shela la harusi mitaani…kisa ni wazazi wake!
Samah Hamdi mwenye miaka 27 alifikia uamuzi huo baada ya kuchoshwa na kashfa kutoka kwa watu wanaomzunguka ikiwemo familia yake hasa mama yake mzazi ambao wamekua wakimsema kutokana na kutokua na mume mpaka sasa.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupiti,tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment