Thursday, January 15, 2015

SIKIA HILI KAMA ULIKUWA HUJUI

SIKIA HILI KAMA ULIKUWA HUJUI

Mabeste IIIAlhamisi ya January 15 kwenye U Heard imesikia story ya msanii Mabeste ambaye Mwaka  2014 haukuwa mwaka mzuri kwake kutokana na familia yake kuandamwa na matatizo mbalimbali ikiwemo magonjwa  yaliyohusishwa na imani za kishirikina na kumlazimu kuweka muziki pembeni  na kutumia muda mwingi kuhudhuria Kanisani.
Soudy Brown amepiga story na mke wa Mabeste ambaye amesema aliugua kwa muda wa miezi 6 lakini hayuko tayari kuzungumzia ishu hiyo kwa undani zaidi kwa sababu ni mambo yanayomuumiza na anahitaji kusahau, kwa sasa anamshukuru Mungu yeye na Mtoto wanaendelea vizuri.
Hutopitwa na jambo na niko tayari kutum,ia muda wangu ili kukupasha kila kinachotokea ndani na nje ya nchi, kupitia tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment