Thursday, January 15, 2015

WANAHARAKATI MAPAMBANO UKATILI WA KIJINSIA TANGA WAPAZA SAUTI

 Wanaharakati wa kupinga vitendo vya Kikatili vya Kijinsia Tanga wakiwa katika kikao cha Wadau wa Mapambano kilichoitishwa na Asasi isiyo ya Kiserikali ya Tree of Hope jana na kufanyika kituo cha watoto YDPC.




 Mwanaharakati wa mapambano wa kupiga vita vitendo vya Kikatili vya Kijinsia, Rehema Hassan, kutoka Wilaya ya Korogwe akielezea matukio yanayotokea Wilayani kwake wakati wa kikao cha wadau wa mapambano kilichoitishwa na Asasi isiyo ya Kiserikali ya Tree of Hope  na kufanyika kituo cha watoto cha YDPC Tanga jana.
 Mkurugenzi wa Asasi isiyo ya Kiserikali ya Tree of Hope, Fourtunata Manyeresa, akiwaonyesha wanaharakati wa kupiga vita ukatili wa kijinsia fomu ya kujiunga na kampeni ya Tunaweza wakati wa kikao cha wadau wa mapambano wa vitendo vya ukatili wa kijinsia kilichofanyika  katika ukumbi wa watoto YDPC Tanga jana.

No comments:

Post a Comment