Mwanamume ameza visu 40 nchini India
Daktari Jatinder Malholtra, ameambia BBC kwamba alikutana na mwanamume huyo wiki iliyopita alipokuwa akihisi maumivu makali kwenye tumbo lake.
Alisema mwanamume huyo hakuwafahamisha madaktari hao kwamba alikuwa akimeza visu.
No comments:
Post a Comment