Watu sita wafariki kutokana na tetemeko la ardhi Italia
Mitetemeko ilisikika katika miji ya mbali kama vile Roma na Italia. Mjini Roma, baadhi ya majumba yalitikisika kwa sekunde 20, kwa mujibu wa gazeti la La Repubblica.
Eneo hilo, ambalo linapakana na mikoa ya Lazio na Marche, ni maarufu sana kwa watalii na kuna wageni wengi waliokuwa eneo hilo kipindi hiki cha shughuli nyingi za kitalii.
Kitovu cha tetemeko hilo kilikuwa katika mji wa Norcia, karibu na Perugia.
No comments:
Post a Comment