John Kerry akwama kwenye foleni Delhi, India
Mvua kubwa ilinyesha na 'kukosa kutambua cheo chake'.
Badala ya magari yake kupitia barabara zilizo wazi, msafara wake wa magari ulikwama kwenye foleni zaidi ya saa moja.
Lilikuwa jambo lisilo la kawaida kwa sababu maafisa wa usalama huondoa magari barabarani kutengeneza njia ya kutumiwa na wageni mashuhuri.
No comments:
Post a Comment