Monday, August 1, 2016

JITIMU MAGONJWA KWA KUNYWA MAJI YA VUGUVUGU

IITIBU MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUNYWA MAJI YA UVUGUVUGU

Ifuatayo  ni  orodha  ya  baadhi  ya  magonjwa  yanayo weza  kutibiwa  kwa  maji  ya  Uvuguvugu

- pumu= asthma

- shinikizo la damu= hbp

- migraine / kichwa= migraine/ headache

- ugonjwa wa sukari= diabetes

- upungufu wa damu= anemia

- maumivu nyuma= back pain

- mawe katika figo= urinary calculus

- maambukizo wa haja ndogo= urinary tract infection

- cholesterol= cholesterol

- baridi yabisi & ugonjwa wa mifupa= rheumatism & arthritis

- kiharusi =stroke

- udhaifu wa mwili =sexual and body weakness

- kuchoka & uchovu = tiredness & fatigue

- tonsili =tonsillitis

- vijidudu vya tumbo = gastroenteritis (stomach virus)

- mafua/homa =colds, flu & fever

- kukosa usingizi= insomnia (lack of sleep)

- kichome kwenye roho= heartburn

- kidonda tumboni =stomach ulcer

- kuvimbiwa (ugumu kupata haja kubwa) =constipation

- kutetemeka mwili kutokana na umri= parkinsonism

- kupoteza nywele (upaa) =hair loss (baldness)

- magonjwa ya ngozi=skin diseases (psoriasis)

- kasoro ya ubongo =alzheimer (defects of the brain)

- maradhi ya moyo =heart disease

- saratani= cancer

- usafisha hedhi ya kila mwezi ya wanawake= purifying women's monthly period

MATUMIZI:
Kunywa    glasi  mbili  ya  maji  ya Uvugvugu  asubuhi  unapo amka kabla ya kwenda chooni kupiga mswaki na kabla  ya  kula  chochote  na unapo maliza kupiga mswaki kunywa tena

Maji ya Uvuguvugu glasi 1 na kaa kwa muda wa saa 1 ndio waweza kula chakula cha asubuhi. Na wakati wa mchana kunywa tena glasi 2 kabla ya kula kitu kisha kaa baada ya saa 1 kupita waweza kula chakula cha mchana. Na wakati wa   usiku kabla ya kula chakula

cha usiku kunywa tena Maji ya Uvuguvugu glasi 2 kaa baada ya saa 1 kupita waweza  kula. kabla  ya  kulala kunywa glasi 1 ya Maji ya Uvugvugu kisha waweza kulala. Fanya  hivyo kila siku  katika maisha yako maradhi yote yatakuondokea kabisa utapona.
MG BLOG

No comments:

Post a Comment