Mauaji ya wanawake na wasichana yakithiri Canada
Miaka miwili iliyopita , Polisi wa Canada waliarifu yakwamba kulikuwa na kesi zaidi ya elfu moja zilizofunguliwa za vifo vya wazawa wanawake na wasichana wazawa kati ya mwaka 1980 na 2012. Uchunguzi dhidi ya kesi za namna hiyo unatarajiwa kuanza kusikilizwa mwezi ujao wa September na mwenendo wa kesi hizo unatarajiwa kuhusisha mashahidi, ingawaje si kuwapa dhima ya jinai.
Kwisha kwa kesi hizo kunatarajiwa kuja na majumuisho ya uchunguzi huo na nini walichogundua na kutoa ripoti kamili mnamo mwishoni mwa mwaka 2018.
No comments:
Post a Comment