Monday, August 1, 2016

WANASHERIA TANGA WAPIGWA MSASA KUSIMAMIA MIKATABA NA UBIA SEKTA BINAFSI NA SERIKALI



 Washiriki wa Semina ya kujengewa uwezo kusimamia mikataba ya Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi wakifuatilia hutuba ya  Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Gerson Mdemu, wakati w aufunguzi wa warsha hiyo Leo ukumbi wa Mkuu wa Mkoa.



 Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Gerson Mdemu, akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa Mkuu wa Mkoa mara baada ya kufungua Semina ya siku nne ya kuwajengea uwezo maofisa wa sheria wa Serikali namna bora ya kuendesha mikata na ubia kati ya Serikali na sekta binafsi nchini.
 Kamishna wa Sekta binafsi na Serikali, Dr, Frank Mhilu, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya ufunguzi wa Semina ya siku nne ya kuwajengea uwezo maofisa wa Serikali na wanasheria namna bora ya kuendesha mikataba na ubia kati ya Serikali na sekta binafsi nchini.


Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Gerson Mdemu, akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa Mkuu wa Mkoa mara baada ya kufungua Semina ya siku nne ya kuwajengea uwezo maofisa wa sheria wa Serikali namna bora ya kuendesha mikata na ubia kati ya Serikali na sekta binafsi nchini.

No comments:

Post a Comment