Kijana aliyemea mkia afanyiwa upasuaji India
Yeye na familia yake kutoka Nagpur nchini India walifanya swala hilo kua siri kwa sababu walikuwa na wasiwasi angechokozwa na wenzake.
Sasa wanataka kuonana na daktari baada ya mkia huo kuendelea kumea mfupa ndani yake.
Mkia huo unadaiwa kuwa mrefu kuwahi kutokea kwa mwanadamu ijapokuwa visa kama hivyo ni vichache.
''Angeinua mkia huo kila mara alipotaka kubadilisha nguo zake.Ningeona kwamba ilikuwa inakera na uchungu mkubwa kwake,kwa hivyo nilimpeleka hospitali''.
Madaktari wanasema kuwa kijana huyo huenda alimea mkia huo ndani ya tumbo la mamake kutokana na kasoro ya uti wa mgongo,lakini ukaonekana nje baada ya kijana huyo kuwa mkubwa.
BBC
No comments:
Post a Comment