Mauaji ya Wamarekani wenye asili ya Afrika imeshika kasi… 50 Cent hajapendezwa hali hii…
Tumeona Marekani ikiwa mstari wa mbele kupambana na vingi, hii ishu ya ubaguzi wa rangi ni changamoto kubwa taifa hilo kwa sasa.
Wameuawa wengi tayari ndani ya kipindi
kifupi, watu hao wenye asili ya Afrika wameandamana na kutumia njia
mbalimbali kuonyesha hawakuridhishwa na Mahakama kuwaachia huru Askari
ambao wamefanya mauaji hayo.
Kutokana na matukio hayo ya mauaji kuendelea kujitokeza rapper 50 Cent, ameamua kuvunja ukimya na kujitokeza kuelezea kukasirishwa kwake na matukio hayo ya mauaji na kupost picha ya Hayati Mahatma Gandhi iliyoandikwa “An eye for an eye makes the whole world blind“.
Kisha akaandika ujumbe wa kuwafariji waliopata athari kutokana na tukio hilo; “Condolences
to the family of the 2 officers.RIP Mike Brown, RIP Eric Garner
randomly shooting police officers is not the answer. Mayor De Blasio get
your ass to work!!!! #SMSAUDIO #POWERTV #FRIGO#EFFENvodka”– @50cent
No comments:
Post a Comment