Huyu amechomwa kisu kichwani, ametembea nacho zaidi ya saa mbili akielekea hospitali
Kisu hicho kilizama kichwani kwa urefu wa 30cm kilimpata mwanaume huyo Juacelo Nunes pembeni ya jicho la kushoto na kutokea kwenye shavu wakati akipambana na majambazi hao.
Kisu hicho kilitolewa na kukabidhiwa Polisi ambao wanaendelea na uchunguzi kuwatafuta wahusika wa tukio hilo.
Daktari amesema mgonjwa huyo kwa sasa yuko chini ya uangalizi wa madaktari na hali yake inaendelea vizuri.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,kumekucha blog
No comments:
Post a Comment