TANGA KUMEKUCHA

Friday, April 17, 2015

NILIJUA NIMEUA SEHEMU (4)


NILIJUA NIMEUA

ILIPOISHIA

Kwa vile nilikuwa kwenye mwendo wa kasi nililipita gari hilo na kwenda kusimama mbele. Hapo hapo mawazo yangu yakabadilika. Niliwaza kwamba huenda gari hilo liliegeshwa kwa hila lionekane limeharibika kumbe ni majambazi wanaosubiri magari yasimame waanze kupora watu.

Nilikuwa nimechelewa kufikiria hilo. Nilikuwa nimeshasimamisha teksi na jamaa aliyenisimamisha alikuwa ameshafika kwenye dirisha la teksi yangu!

Chini ya siti yangu ya dereva, siku zote huweka parange (sime ya kimasai) kwa ajili ya kujihami endapo kutatokea tatizo la kuvamiwa na mtu au watu wenye nia mbaya.

Kwa vile sikuwa na uhakika kuwa mtu huyo aliyenisimamisha alikuwa na nia mbaya au nzuri, tayari nilishapeleke mkono wangu wa kulia kuushika mpini wa parange iliyokuawa chini ya siti niliyokalia.

Nilikuwa nimejiweka tayari, kama atakuwa na nia mbaya niweze kukabiliana naye.

SASA ENDELEA

“Samahani bwana” Mtu huyo akaniambia. Ingawa sauti yake ilikuwa tulivu nay a kibinaadamu, ilikuwa imeficha taharuki.

“Unasemaje?” nikamuuliza nikiwa nimemkazia macho kusoma mawazo yake.

“Mimi ni daktari wa hospitali ya Bombo. Nimepigiwa simu kuitwa   hospitali, kuna mama mjamzito anahitaji kufanyiwa operesheni ya dharura sasa hivi. Kwa bahati mbaya gari langu limeharibika njiani. Naomba unipeke Bombo haraka” akaniambia.

“Kusema kweli nilimuelewa. Nikamuuliza.

“Na hilo gari lako je?”

“Ningeomba kama itawezekana unisaidie kulivuta niliondoe mahali hapa”

“Hiyo itakuwa ni kazi nyingine” nikamwambia.

“Naomba msaad wako kaka, sina jinsi na siwezi kuliacha hapa”

“Unataka nilivute hadi wapi?”

“Hadi Bombo. Nitaliegesha sehemu. Kutakapokucha nitajua la kufanya”

“Utanilipa kiasi gain?”

“Sema wewe”

“Kulivuta hilo gari lako pamoja na kukufikisha wewe Bombo utanilipa elfu ishirini”

“Sawa. Nitakulipa”

Alipokubali kima changu nilifungua mwa gari nikashuka.

“Una kamba?” nikamuuliza.

“Kamba sina’

Nilikuwa na kamba ya akiba kwenye boneti la teksi yangu. Nilikwenda nyuma ya gari, nikafungua boneti na kutoa kamba. Nikaiweka chini.

Kisha niliisogeza teksi mbele ya gari la mtu huyo lililokuwa pembeni. Nikashuka tena na kufunga ncha moja ya kamba nyuma ya gari langu na ncha nyingine nikaifunga mbele ya lile gari. Nilipomaliza nilimwambia mtu huyo ajipakie kwenye gari lake.

Wakati anajipakia na mimi nilikwenda kwenye mlango wa teksi nikaufungua na kujipakia. Nilitia gea na kuiondo teksi taratibu. Kamba ilinyooka na kukaza kabla ya kuanza kulivuta gari la nyuma.

Niliingia barabarani nikawa naendesha taratibu. Kwa vile niliendesha kwa mwendo mdogo tulifika Bombo saa kumi na mbili asubuhi.

Nilishuka kwenye teksi nikaifungua ile kamba na kuiweka kwenye boneti.

“Nakushukuru sana” Mtu huyo akaniambia baada ya kushuka kwenye gari lake.

Alitoa pochi mfukoni akaifungua na kutoa noti mbili za elfu kumi kumi akanipa.

“Sasa nipe namba yako, naweza kukuhitaji tena” Mtu huyo akaniambia.

Nikampa namba yangu ya simu akaiandika kwenye simu yake kasha akaniuliza.

“Unaitwa nani?”

“Andika Majomba Teksi”

Baada ya kuandika jina hilo aliniambia.

“Vizuri, nitakutafuta”

“Sawa” nikamjibu. Nilijipakia kwenye teksi yangu nikaiwasha na kuondoka.

Wakati naendesha nilijikuta nikumuwaza huyo mwanamke mjamzito aliyetakiwa kufanyiwa operesheni. Sikuwa na hakika kwamba alikuwa katika hali gani muda ule kwani kwa vyovyote vile yule daktari alikuwa amechelewa sana kufika pale hospitali kutokana na gari lake kuharibika.

ITAENDELEA
Usikose uhundo wa kisa hiki cha kusisimua hapa hapa www.tangakumekucha.blogspot.com
Imechapishwa na Unknown kwa 12:11 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Time

 Time in Tanga

Total Pageviews

My Blog List

Blog Archive

  • ►  2014 (563)
    • ►  November (97)
    • ►  December (466)
  • ▼  2015 (3131)
    • ►  January (417)
    • ►  February (332)
    • ►  March (351)
    • ▼  April (308)
      • ANA KESI AJIBAMBIKIA KESI
      • DAMU YAZIDI KUMWAGIKA KWA WAGENI AFRIKA KUSINI
      • MFANYAKAZI WA NDANI AMFANYIA UKATILI MTOTO WA BOSI...
      • NI KUVIZIANA AFRIKA KUSINI , DAMU YAZIDI KUMWAGIKA
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • MTANANGE WA CHELSEA NA MAN UTD
      • ARSENAL YATINGA FAINAL FA
      • SOMA MAKUBWA YALIOANDIKWA NA MAGAZETI LEO,APR 19
      • KUKU WA KISASA, JE WAKO NA MADHARA AU?
      • NDEGE YA JUA YAKWAMA CHINA
      • BANDARINI SAHARE TANGA
      • SOMA MAKUBWA YALIYOJIRI MAGAZETINI LEO APR 20
      • WATANZANIA WAISHIO AFRIKA KUSINI KUREJESHWA
      • VIMBWANGA VYA WALIMWENGU
      • ARSANAL YAJIPANGA KUNASA SAINI YA ISCO ROMAN
      • BALOTELLI AONGOZA KUPOKEA MESEJI ZA UBAGUZI WA RANGI
      • WASTARA APATA AJALI
      • ASKARI WENGI UINGEREZA WAUGUA UGONJWA NWA KICHAA
      • BOTI YAZAMA NA KUUWA WATU 900
      • HATMA YA MORSI LEO
      • SOKONI MGANDINI ,TANGA
      • JAMAA ALEWA CHAKARI NA KULALA KATIKATI YA BARABARA...
      • SOMA MAKUBWA YALIOANDIKWA NA MAGAZETI LEO APRIL 21 TZ
      • HADITHI SEHEMU YA (5)
      • WAKONGWE WA SOKA DUNIANI BADO WAMO
      • TRENI KUBWA IENDAYO KASI ZAIDI DUNIANI
      • MAJUMBA MAKALI ZAIDI YA MASTAA WA SOKA DUNIANI
      • MOHAMMED MORSI JELA MIKA 20
      • MAJAMBAZI YAPORA, YAUA , MOSHI
      • MAJAMBAZI YADAKWA KIAINA DAR
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • BARCELONA, BAYERN ZATINGA 8 BORA
      • HALI BADO NI TETE AFRIKA KUSINI
      • SOMA HABARI KUBWA ZILIZOPEWA UZITO NA MAGAZETI YA ...
      • SOKONI SAHARE TANGA
      • SIO MTU, NI ROBOTI
      • MESSI ROHO YA BARCELONA
      • WALIMWENGU
      • LUIS VAN GAAL YAIMARISHA SAFU YA ULINZI WAKE
      • VIMBWANGA VYA WALIMWENGU
      • AITWANGA RISASI 8 KOMPUTER BAADA YA KUSHINDWA KUFA...
      • NI VILIO TU KILA KONA
      • WAPENZI WA NDONDI PRESHA TUPU
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • NI VILIO TU KILA KONA
      • CHICHARITO AIPELEKA REAL MADRID NUSU FAINAL
      • MGAMBO JKT ------------------NI SHIDA
      • AFRIKA KUSINI BADO HALI NI TETE
      • SOMA MAKUBWA YALIYOANDIKWA MAGAZETINI LEO APRIL 23 TZ
      • MWAMUZI WA PAMBANO LA MANNY NA FLOYD HUYU HAPA
      • MAPAPARAZI WAMEINASA SURUALI YA PEP GUARDIOLA
      • MARAIS 8 ARFIKA MATAJIRI
      • JE, UMEWAHI KULA MISHKAKI YA VYURA? ISHU IKO HAPA
      • BEI YA TIKITI YA PAMBANO LA MAYWEATHER NA MANNY PA...
      • ALIEOLEWA MARA MBILI, MAMA MKWE AFUNGUKA
      • WASHABIKI WA REAL MADRID WAFURIKA BARABARANI KUILA...
      • HAKUNA TATIZO GERRARD AKIONDOKA
      • RAIS WA EVARTON AFARIKI
      • AFRIKA KUSINI BADO HAKUJATULIA
      • JUKWAA LADIDIMIA WAKATI WAKICHEZA MUZIKI JUKWAANI
      • SOMA MAKUBWA YALIYOJIRI MAGAZETINI LEO APR 24
      • AFARIKI BAADA YA KUMEZA VIDONGE VYA KUPUNGUZA UNENE
      • NILIJIA NIMEUA SEHEMU (6)
      • WASHABIKI WA ARSENAL WATOA YA MOYONI
      • CHICHARITO AZIDI KUIPANDA THAMANI
      • HOTELI ANGANI (MAISHA)
      • RATIBA LIGI MABINGWA ULAYA HII HAPA
      • MAAAJABU, KUKU ATEMBEA SHINGO CHINI
      • MUUMINI MWINJUMA ATOA YAMOYONI
      • YANGA YAFANYA MAUAJI
      • FLOYD MAYWEATHERE TAJIRI KUFURU
      • MAMA AVAMIA OFISI YA MKUU WA SHULE, KISA MTOTO WAK...
      • WENGI WAMTABIARIA PACQUIAO KUSHINDA
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • MAISHA NI KUKOMAA NA KUWAJIBIKA
      • MVUA YAUWA WAWILI TANGA
      • SOMA MAKUBWA YALIYOANDIKWA MAGAZETINI LEO APRIL 25 TZ
      • LIST YA WALOTAJWA KUSHIRIKI TUZO MWAKA 2015
      • WATU 560 WAUWAWA KWA TETEMEKO LA ARDHI NEPAL
      • MATUKIO KUTOKA LAGOS NIGERIA
      • SOMA MAKUBWA YALIYOJIRI MAGAZETINI LEO APR 26 TZ
      • MTANANGE WA ARSENAL NA CHALESEA LEO JIONI
      • HAKUNA MBABE ARSENAL WALA CHALSEA
      • DEREVA WA BODABODA ANUSURIKA KIFO, MIKANJUNI TANGA
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • MATUKIO YA KURUSHIANA RISASI BADO YAENDELEA MAREKANI
      • SOMA MAKUBWA YALIYOANDIKWA MAGAZETINI APRL 27 TZ
      • UBISHI WA DEREVA WAGHARIMU MAISHA MAKUMI YA WATU, ...
      • IDADI YA VIFO LA AJALI YA TETEMEKO LA ARDHI NEPAL ...
      • MGANGA TAPELI AMTAPELI MAMA MMOJA MILIONI 1 NA SHI...
      • BECKHAM AFANYA BATHDAY YA NGUVU MOROCCO
      • AMTWANGA RISASI TANO NA KUMUUA SIKU NNE TU YA NDOA
      • YANGA YATANGAZA UBINGWA MOROGORO
      • BABA AMPA UJAUZITO BINTI YAKE
      • ATEKETEZA GIOROFA , KISA WIVU WA MAPENZI
      • KUWA MAKINI NA NAMBA HIZI
      • KITISHO CHA UGAIDI NI BALAA KWA ASKARI KENYA
      • TUNAWAHI SHULE
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • SOMA MAKUBWA YALIYOJIRI MAGAZETINI LEO, APRIL 28 TZ
      • KITISHO CHA UGAIDI YAIKUMBA BUNGE, KENYA
      • AC MILAN KUJENGA UWANJA WAKE
      • MANNY PACQUIAO ATUA LAS VEGAS KUMTWANGA MANNY WEATHER
      • VINARA WA KUZIFUMANIA NYAVU
      • CHALSEA YAANDAA MAANDALIZI YA UBINGWA
      • MACHAFUKO YAHUSIANAYO NA UBAGUZI WA RANGI MAREKANI...
      • IDADI YA VIFO NEPAL VYAONGEZEKA
      • VITISHO VYA KIGAIDI KILA PEMBE
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • JK AZINDUA MELI ZA KIVITA DAR
      • SOMA MAKUBWA YALIYOANDIKWA MAGAZETINI LEO, APR 29
      • BREKING NEWS
      • KANISA LADAIWA KUFANYA IBADA WANAWAKE WAKIWA UTUPU
      • MAYWEATHER AKAGUA UKUMBI WA PAMBANO LAKE KIMKWARA
      • CHAMA CHA SOKA ENGLAND YABADILI JINA NA FA CUP
      • AJALI NYENGINE YATOKEA MORO JIONI HII
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • FLOYD MAYWEITHER APATWA NA CHECHETO KWA PACQUIAO
      • SOMA MAKUBWA YALIOANDIKWA NA MAGAZETI YA LEO, APR ...
      • CHALSEA KUTANGAZA UBINGWA JUMAPILI STANFORD BRIDGE
      • AKUTWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI KWA S...
      • VIMBWANGA VYA WALIMWENGU
      • WATUHUMIWA KUIBA DUKA LA NGUO, KARIAKOO
      • WASHABIKI AC WACHOSHWA NA BOSS WAO
      • TUTOKOMEZE VIFO VYA WAJAWAZITO
      • FLOYD MAYWEATHER ADAIWA KUMKACHA MANNY PACQUIAO, A...
      • MWALIMU ALIKACHA DARASA NA KUKIMBILIA KUUZA MITUMBA
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
    • ►  May (263)
    • ►  June (255)
    • ►  July (260)
    • ►  August (246)
    • ►  September (237)
    • ►  October (210)
    • ►  November (142)
    • ►  December (110)
  • ►  2016 (1913)
    • ►  January (121)
    • ►  February (102)
    • ►  March (131)
    • ►  April (198)
    • ►  May (196)
    • ►  June (197)
    • ►  July (197)
    • ►  August (186)
    • ►  September (159)
    • ►  October (160)
    • ►  November (138)
    • ►  December (128)
  • ►  2017 (562)
    • ►  January (134)
    • ►  February (106)
    • ►  March (113)
    • ►  April (77)
    • ►  May (72)
    • ►  June (11)
    • ►  September (1)
    • ►  October (36)
    • ►  November (10)
    • ►  December (2)
  • ►  2018 (1)
    • ►  February (1)
Picture Window theme. Powered by Blogger.