Hoteli angani? ni Luxury private Jet ya kwanza ya Hoteli… nauli yake ndio noma.
Ni ndege iliyopangwa kifahari ndani yake na
ina uwezo wa kubeba watu 52 kwa jinsi ilivyotengenezwa ndani yake na
ikawa ina nafasi kwa kila mtu kukunjua kiti chake na kukifanya kama
kitanda ambapo kama ingekua ni ndege ya kawaida nafasi hiyo ingefikisha
viti karibu 150.
Kwa mambo mengi mazuri na yakusisimua usiwe mbali nami nitakupasha na kukuhabarisha mengi yanayojiri muda na wakati husika, ni hapa hapa tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment