Simba vs Mgambo JKT Ruvu April 22 2015 utaipenda kama wewe ni wa Simba.
Unaambiwa Simba imeifunga Mgambo 4- 0 ambapo goli tatu zimepigwa na Emmanuel Okwi alafu hilo moja lililobaki likapigwa na Ramadhani Singano ikiwa ni mechi nyingine kutoka kwenye ligi kuu.
No comments:
Post a Comment