Bado mengine yanaendelea kusikika kuhusu Watanzania walioko South Africa..
Kwa sasa hali ni mbaya na inadaiwa kuwa wageni wengi wameanza kuikimbia bila kupenda na kuacha mali zao zikiwemo majumba na rasilimali nyengine.
Hii imepelekea nchi kadhaa za Kiafrika kuwataka raia wao kurejea majumbani kwao.
No comments:
Post a Comment