TANGA KUMEKUCHA

Friday, April 24, 2015

NILIJIA NIMEUA SEHEMU (6)

Hadithi hii inaletwa kwenu kwa hisani kubwa na Mkombozi Sanitarium Clinic, Mabingwa wa Tiba Asilia. Mkombozi wanatibu magonjwa sugu yakiwemo homa za mara kwa mara, magonjwa ya tumbo, Bawasiri na maradhi ya moyo. Mkombozi wako na Mashine ya kupima kipimo cha mwili mzima na kugundua maradhi yaliyofichikana. Wapo Chuda Tanga mkabala na Kampuni ya usafirishaji abiria (Raha leo) simu 0654 361333
 
ILIPOISHIA
 
Siku ya pili yake nilimchukua rafiki yangu nikaenda naye kupeleka pesa hizo.
 
Mipango ya harusi ikafanywa.
 
Baada ya wiki mbili nikaenda Ponwe kumuoa Halima.
 
Baada ya kuoana na Amina ndipo nilipoanza kufaidi maisha ya ndoa. Kuse,ma kweli yalikuwa matamu kinyume na kuishi kihuni.
 
Kwanza gharama ya maisha ilipungua sana. Pesa ambayo hapo mwanzo nilitumia peke yangu kwa siku  kwa kula kwenye mikahawa, ilitumika kwa siku mbili nilipokuwa na mke wangu.
 
Kadhalika nilikuwa na mwenzangu wa karibu wa kuniliwaza, kunishauri na kunisaidia pale nilipohitaji mwenza wa kunisaidia.
 
Kwa kweli nilihisi raha na nilijilaumu kwa kuchelewa sana kumuoa Halima.
 
SASA ENDELEA
 
Niliendelea na kazi yangu ya teksi. Fedha nilizopata ntulitumia, kiasi kingine tuliwek kama akiba yetu. Miezi michache tu baad ya kuoana, ndoa ilijibu. Halima akapata ujauzito.
 
Halima alinijulisha usiku kuwa alikuwa mjamzito. Wakati tunataka kulala aliniambia.
 
“Subiri”
 
“Nisubiri nini?” nikamuuliza.
 
“Subiri nikuoneshe kitu”
 
“Kitu gani?”
 
“Una haraka gani?”
 
Halima akasimama mbele yangu na kuushika mkono wangu kisha akaushikisha kwenye tumbo lake chini ya kitovu. Akawa anautomasisha kwenye tumbo lake.
 
“Unaona nini?” akaniuliza.
 
“Sioni kitu” nikamjibu.
 
“Huoni kitu kigumu gumu?”
 
“Nakiona, ni nini?”
 
Halima akauachia mkono wangu kisha akapanda kitandani. Wakati anavuta shuka nilimuuliza.
 
“Mbona hukiambii ni nini?”
 
“Mimba!” akanijibu huku akiendelea kijifinika.
 
“Hiyo ni mamba?”
 
Ndiyo”
 
“Mbona ndogo sana?”
 
“Si ndio inaanza, ina mwezi mmoja. Ujue mwezi uliopita sikupata siku zangu”
 
Ni kweli ilikuwa mamba ya mwezi mkmoja. Ilitupa furaha sote wawili. Tukaona karibuni tutaitwa baba na mama.
 
Lakini kadiri siku zilivyoendelea Halima alikuwa akiniambia anapolala usiku anaota ndoto amejifungua watoro wawili mapacha. Watoto hao ni wazuri na weupe kama wazungu!
 
Nikadhani labda ni kweli atajifungua mapacha. Mimba ilipoiza miezi mitatu Halima aliota akifanya tendo la ndoa na mwendawazimu. Alipoamka akaanza kuumwa tumbo!
 
“Una nini?” nikamuuliza nilipomuona akifurukuta.
 
Akanihadithia ile ndoto aliyoota kasha akaniambia alipoamka aliona tumbo linamuuma.
 
Wakati ananieleza hali ilizidi kuwa mbaya. Nikafikiria nimpeleke hospitali lakini ile mamba ikatoka muda ule ule.
 
Sikujua alikuwa amepatwa na tatizo gani. Ilikuwa saa kumi na mbili asubuhi. Nikatoka naye na kumpakia kwenye teksi, tukaenda hospitali ya Bombo.
 
Tulipofika hospitali nilimpigia simu rafiki yangu Dk Augostino Kweka. Kwa bahati njema alikuwa pale pale hospitali, akaja kumtazama mke wangu kisha  akaniambia.
 
“Anahitaji kusafishwa. Mimba haikutoka yote”
 
Dk Kweka alinisaidia sana. Alilichukua jukumu lile kirafiki. Mpaka inafika saa tatu mke wangu alikuwa ameshasafishwa.na kupelekwa wodini. Mimi mwenyewe nilikuwa hapo hapo hospitali muda wote.
 
Baada ya kupelekwa wodini Dk Kweka aliniita, nikaenda wodini na kumuona mke wangu. Hali aliyokuwa nayo wakati anapelekwa kufanyiwa usafishwaji, siyo aliyokuwa nayo wakati ametolewa. Alikuwa na afadhali sana.
 
Nikamshukuru Dk Kweka nay eye akanishukuru pia.
 
“Unaweza kurudi naye nyumbani” akaniambia.
 
“Tatizo lake limekwisha kabisa?” nikamuuliza.
 
“Limekwisha isipokuwa kila wiki umlete kuangalia maendeleo yake”
 
“Lilikuwa ni tatizo gani?”
 
“Mimba ilikuwa haikushika sawa sawa. Ana udhaifu kwenye kizazi chake. Katika hali kama hiyo anapopata mshituko, hofu au fadhaa, mara moja mimba inaweza kutoka”
 
Nikahisi ile ndoto aliyoota ndiyo iliyomshitua na kusababisha mimba hiyo kuporomoka.
 
“Asante dokta, sasa unatushauri nini?”
 
“Kama nilivyokwambia kila wiki mlete hapa hospitali, nione maendeleo yake”
 
“Sawa dokta, nitafanya hivyo”
 
ITAENDELEA
 
 
NILIJUA NIMEUA
 
ILIPOISHIA
 
Siku ya pili yake nilimchukua rafiki yangu nikaenda naye kupeleka pesa hizo.
 
Mipango ya harusi ikafanywa.
 
Baada ya wiki mbili nikaenda Ponwe kumuoa Halima.
 
Baada ya kuoana na Amina ndipo nilipoanza kufaidi maisha ya ndoa. Kuse,ma kweli yalikuwa matamu kinyume na kuishi kihuni.
 
Kwanza gharama ya maisha ilipungua sana. Pesa ambayo hapo mwanzo nilitumia peke yangu kwa siku  kwa kula kwenye mikahawa, ilitumika kwa siku mbili nilipokuwa na mke wangu.
 
Kadhalika nilikuwa na mwenzangu wa karibu wa kuniliwaza, kunishauri na kunisaidia pale nilipohitaji mwenza wa kunisaidia.
 
Kwa kweli nilihisi raha na nilijilaumu kwa kuchelewa sana kumuoa Halima.
 
SASA ENDELEA
 
Niliendelea na kazi yangu ya teksi. Fedha nilizopata ntulitumia, kiasi kingine tuliwek kama akiba yetu. Miezi michache tu baad ya kuoana, ndoa ilijibu. Halima akapata ujauzito.
 
Halima alinijulisha usiku kuwa alikuwa mjamzito. Wakati tunataka kulala aliniambia.
 
“Subiri”
 
“Nisubiri nini?” nikamuuliza.
 
“Subiri nikuoneshe kitu”
 
“Kitu gani?”
 
“Una haraka gani?”
 
Halima akasimama mbele yangu na kuushika mkono wangu kisha akaushikisha kwenye tumbo lake chini ya kitovu. Akawa anautomasisha kwenye tumbo lake.
 
“Unaona nini?” akaniuliza.
 
“Sioni kitu” nikamjibu.
 
“Huoni kitu kigumu gumu?”
 
“Nakiona, ni nini?”
 
Halima akauachia mkono wangu kisha akapanda kitandani. Wakati anavuta shuka nilimuuliza.
 
“Mbona hukiambii ni nini?”
 
“Mimba!” akanijibu huku akiendelea kijifinika.
 
“Hiyo ni mamba?”
 
Ndiyo”
 
“Mbona ndogo sana?”
 
“Si ndio inaanza, ina mwezi mmoja. Ujue mwezi uliopita sikupata siku zangu”
 
Ni kweli ilikuwa mamba ya mwezi mkmoja. Ilitupa furaha sote wawili. Tukaona karibuni tutaitwa baba na mama.
 
Lakini kadiri siku zilivyoendelea Halima alikuwa akiniambia anapolala usiku anaota ndoto amejifungua watoro wawili mapacha. Watoto hao ni wazuri na weupe kama wazungu!
 
Nikadhani labda ni kweli atajifungua mapacha. Mimba ilipoiza miezi mitatu Halima aliota akifanya tendo la ndoa na mwendawazimu. Alipoamka akaanza kuumwa tumbo!
 
“Una nini?” nikamuuliza nilipomuona akifurukuta.
 
Akanihadithia ile ndoto aliyoota kasha akaniambia alipoamka aliona tumbo linamuuma.
 
Wakati ananieleza hali ilizidi kuwa mbaya. Nikafikiria nimpeleke hospitali lakini ile mamba ikatoka muda ule ule.
 
Sikujua alikuwa amepatwa na tatizo gani. Ilikuwa saa kumi na mbili asubuhi. Nikatoka naye na kumpakia kwenye teksi, tukaenda hospitali ya Bombo.
 
Tulipofika hospitali nilimpigia simu rafiki yangu Dk Augostino Kweka. Kwa bahati njema alikuwa pale pale hospitali, akaja kumtazama mke wangu kisha  akaniambia.
 
“Anahitaji kusafishwa. Mimba haikutoka yote”
 
Dk Kweka alinisaidia sana. Alilichukua jukumu lile kirafiki. Mpaka inafika saa tatu mke wangu alikuwa ameshasafishwa.na kupelekwa wodini. Mimi mwenyewe nilikuwa hapo hapo hospitali muda wote.
 
Baada ya kupelekwa wodini Dk Kweka aliniita, nikaenda wodini na kumuona mke wangu. Hali aliyokuwa nayo wakati anapelekwa kufanyiwa usafishwaji, siyo aliyokuwa nayo wakati ametolewa. Alikuwa na afadhali sana.
 
Nikamshukuru Dk Kweka nay eye akanishukuru pia.
 
“Unaweza kurudi naye nyumbani” akaniambia.
 
“Tatizo lake limekwisha kabisa?” nikamuuliza.
 
“Limekwisha isipokuwa kila wiki umlete kuangalia maendeleo yake”
 
“Lilikuwa ni tatizo gani?”
 
“Mimba ilikuwa haikushika sawa sawa. Ana udhaifu kwenye kizazi chake. Katika hali kama hiyo anapopata mshituko, hofu au fadhaa, mara moja mimba inaweza kutoka”
 
Nikahisi ile ndoto aliyoota ndiyo iliyomshitua na kusababisha mimba hiyo kuporomoka.
 
“Asante dokta, sasa unatushauri nini?”
 
“Kama nilivyokwambia kila wiki mlete hapa hospitali, nione maendeleo yake”
 
“Sawa dokta, nitafanya hivyo”
 
ITAENDELEA




y



Imechapishwa na Unknown kwa 5:41 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Time

 Time in Tanga

Total Pageviews

618,427

My Blog List

Blog Archive

  • ►  2014 (563)
    • ►  November (97)
    • ►  December (466)
  • ▼  2015 (3131)
    • ►  January (417)
    • ►  February (332)
    • ►  March (351)
    • ▼  April (308)
      • MAJAMBAZI YAPORA, YAUA , MOSHI
      • MAJAMBAZI YADAKWA KIAINA DAR
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • BARCELONA, BAYERN ZATINGA 8 BORA
      • HALI BADO NI TETE AFRIKA KUSINI
      • SOMA HABARI KUBWA ZILIZOPEWA UZITO NA MAGAZETI YA ...
      • SOKONI SAHARE TANGA
      • SIO MTU, NI ROBOTI
      • MESSI ROHO YA BARCELONA
      • WALIMWENGU
      • LUIS VAN GAAL YAIMARISHA SAFU YA ULINZI WAKE
      • VIMBWANGA VYA WALIMWENGU
      • AITWANGA RISASI 8 KOMPUTER BAADA YA KUSHINDWA KUFA...
      • NI VILIO TU KILA KONA
      • WAPENZI WA NDONDI PRESHA TUPU
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • NI VILIO TU KILA KONA
      • CHICHARITO AIPELEKA REAL MADRID NUSU FAINAL
      • MGAMBO JKT ------------------NI SHIDA
      • AFRIKA KUSINI BADO HALI NI TETE
      • SOMA MAKUBWA YALIYOANDIKWA MAGAZETINI LEO APRIL 23 TZ
      • MWAMUZI WA PAMBANO LA MANNY NA FLOYD HUYU HAPA
      • MAPAPARAZI WAMEINASA SURUALI YA PEP GUARDIOLA
      • MARAIS 8 ARFIKA MATAJIRI
      • JE, UMEWAHI KULA MISHKAKI YA VYURA? ISHU IKO HAPA
      • BEI YA TIKITI YA PAMBANO LA MAYWEATHER NA MANNY PA...
      • ALIEOLEWA MARA MBILI, MAMA MKWE AFUNGUKA
      • WASHABIKI WA REAL MADRID WAFURIKA BARABARANI KUILA...
      • HAKUNA TATIZO GERRARD AKIONDOKA
      • RAIS WA EVARTON AFARIKI
      • AFRIKA KUSINI BADO HAKUJATULIA
      • JUKWAA LADIDIMIA WAKATI WAKICHEZA MUZIKI JUKWAANI
      • SOMA MAKUBWA YALIYOJIRI MAGAZETINI LEO APR 24
      • AFARIKI BAADA YA KUMEZA VIDONGE VYA KUPUNGUZA UNENE
      • NILIJIA NIMEUA SEHEMU (6)
      • WASHABIKI WA ARSENAL WATOA YA MOYONI
      • CHICHARITO AZIDI KUIPANDA THAMANI
      • HOTELI ANGANI (MAISHA)
      • RATIBA LIGI MABINGWA ULAYA HII HAPA
      • MAAAJABU, KUKU ATEMBEA SHINGO CHINI
      • MUUMINI MWINJUMA ATOA YAMOYONI
      • YANGA YAFANYA MAUAJI
      • FLOYD MAYWEATHERE TAJIRI KUFURU
      • MAMA AVAMIA OFISI YA MKUU WA SHULE, KISA MTOTO WAK...
      • WENGI WAMTABIARIA PACQUIAO KUSHINDA
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • MAISHA NI KUKOMAA NA KUWAJIBIKA
      • MVUA YAUWA WAWILI TANGA
      • SOMA MAKUBWA YALIYOANDIKWA MAGAZETINI LEO APRIL 25 TZ
      • LIST YA WALOTAJWA KUSHIRIKI TUZO MWAKA 2015
      • WATU 560 WAUWAWA KWA TETEMEKO LA ARDHI NEPAL
      • MATUKIO KUTOKA LAGOS NIGERIA
      • SOMA MAKUBWA YALIYOJIRI MAGAZETINI LEO APR 26 TZ
      • MTANANGE WA ARSENAL NA CHALESEA LEO JIONI
      • HAKUNA MBABE ARSENAL WALA CHALSEA
      • DEREVA WA BODABODA ANUSURIKA KIFO, MIKANJUNI TANGA
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • MATUKIO YA KURUSHIANA RISASI BADO YAENDELEA MAREKANI
      • SOMA MAKUBWA YALIYOANDIKWA MAGAZETINI APRL 27 TZ
      • UBISHI WA DEREVA WAGHARIMU MAISHA MAKUMI YA WATU, ...
      • IDADI YA VIFO LA AJALI YA TETEMEKO LA ARDHI NEPAL ...
      • MGANGA TAPELI AMTAPELI MAMA MMOJA MILIONI 1 NA SHI...
      • BECKHAM AFANYA BATHDAY YA NGUVU MOROCCO
      • AMTWANGA RISASI TANO NA KUMUUA SIKU NNE TU YA NDOA
      • YANGA YATANGAZA UBINGWA MOROGORO
      • BABA AMPA UJAUZITO BINTI YAKE
      • ATEKETEZA GIOROFA , KISA WIVU WA MAPENZI
      • KUWA MAKINI NA NAMBA HIZI
      • KITISHO CHA UGAIDI NI BALAA KWA ASKARI KENYA
      • TUNAWAHI SHULE
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • SOMA MAKUBWA YALIYOJIRI MAGAZETINI LEO, APRIL 28 TZ
      • KITISHO CHA UGAIDI YAIKUMBA BUNGE, KENYA
      • AC MILAN KUJENGA UWANJA WAKE
      • MANNY PACQUIAO ATUA LAS VEGAS KUMTWANGA MANNY WEATHER
      • VINARA WA KUZIFUMANIA NYAVU
      • CHALSEA YAANDAA MAANDALIZI YA UBINGWA
      • MACHAFUKO YAHUSIANAYO NA UBAGUZI WA RANGI MAREKANI...
      • IDADI YA VIFO NEPAL VYAONGEZEKA
      • VITISHO VYA KIGAIDI KILA PEMBE
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • JK AZINDUA MELI ZA KIVITA DAR
      • SOMA MAKUBWA YALIYOANDIKWA MAGAZETINI LEO, APR 29
      • BREKING NEWS
      • KANISA LADAIWA KUFANYA IBADA WANAWAKE WAKIWA UTUPU
      • MAYWEATHER AKAGUA UKUMBI WA PAMBANO LAKE KIMKWARA
      • CHAMA CHA SOKA ENGLAND YABADILI JINA NA FA CUP
      • AJALI NYENGINE YATOKEA MORO JIONI HII
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
      • FLOYD MAYWEITHER APATWA NA CHECHETO KWA PACQUIAO
      • SOMA MAKUBWA YALIOANDIKWA NA MAGAZETI YA LEO, APR ...
      • CHALSEA KUTANGAZA UBINGWA JUMAPILI STANFORD BRIDGE
      • AKUTWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI KWA S...
      • VIMBWANGA VYA WALIMWENGU
      • WATUHUMIWA KUIBA DUKA LA NGUO, KARIAKOO
      • WASHABIKI AC WACHOSHWA NA BOSS WAO
      • TUTOKOMEZE VIFO VYA WAJAWAZITO
      • FLOYD MAYWEATHER ADAIWA KUMKACHA MANNY PACQUIAO, A...
      • MWALIMU ALIKACHA DARASA NA KUKIMBILIA KUUZA MITUMBA
      • AMKA NA MAGAZETI NA TANGAKUMEKUCHABLOG
    • ►  May (263)
    • ►  June (255)
    • ►  July (260)
    • ►  August (246)
    • ►  September (237)
    • ►  October (210)
    • ►  November (142)
    • ►  December (110)
  • ►  2016 (1913)
    • ►  January (121)
    • ►  February (102)
    • ►  March (131)
    • ►  April (198)
    • ►  May (196)
    • ►  June (197)
    • ►  July (197)
    • ►  August (186)
    • ►  September (159)
    • ►  October (160)
    • ►  November (138)
    • ►  December (128)
  • ►  2017 (562)
    • ►  January (134)
    • ►  February (106)
    • ►  March (113)
    • ►  April (77)
    • ►  May (72)
    • ►  June (11)
    • ►  September (1)
    • ►  October (36)
    • ►  November (10)
    • ►  December (2)
  • ►  2018 (1)
    • ►  February (1)
Picture Window theme. Powered by Blogger.