Huenda ulipitwa na hii ya mgomo wa Walimu Kenya, itazame hapa hali ilivyokuwa (Video)
Moja ya story zilizochukua headlines
kutoka Kenya siku ya leo January 06 ni ishu ya mgomo wa walimu
wa shule za Serikali wakidai nyongeza ya mshahara.
Taarifa ya Kituo cha Citizen imebaini kuwa wanafunzi wengi walioenda shuleni walilazimika kurudi nyumbani kutokana na kutokuwepo kwa walimu.
Mgomo huu umeanza siku ya kwanza ambapo
shule zilikuwa zinafungua baada ya mazungumzo ya Serikali na Chama cha
Walimu kutofikia muafaka.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia, kumekucha blog
No comments:
Post a Comment