Ajifungua mtoto akiwa na miaka 63
Mama huyo amejaaliwa kujifungua mtoto wa kike baada ya kuchangiwa Kiini tete hicho.
Mtoto huyo anayeishi Tasmania alizaliwa kupitia njia ya upasuaji mjini Melbourne Agosti mosi.
Bibi huyo alikuwa amejaribu sana kupata mtoto kupitia teknolojia ya kupandikisha mimba au IVF lakini bila mafanikio.
No comments:
Post a Comment