Arsenal yaichapa Man City
Sergio Aguero ndiye aliyefunga bao la kwanza katika mechi hiyo ilichezwa katika uwanja wa Gothenburg.
Hata hivyo Alex Iwobi, Theo Walcott na Chuba Akpom wakaifungia The Gunners.
Vijana wa kocha Pep Guardiola walijifurukuta na kufunga moja la kupunguza aibu kupitia kwa Kelechi Iheanacho.
Wakati huo huo vibonde wao katika ligi kuu ya Uingereza Chelsea hawakuwa na afueni kwani pia wao walimpoteza John Terry aliyejeruhiwa katika mechi ya kirafiki dhidi ya Werder Bremen.
The Blues waliibuka washindi kwa mabao 4-2.
Katika mechi nyingine Liverpool iliambulia kichapo cha 4-0 mikononi mwa Mainz siku moja tu baada ya kuiduwaza Barcelona kwa kichapo sawa na hicho.
No comments:
Post a Comment