Mchezaji wa Ivory Coast afungwa miezi 2 jela Ufaransa
Aurier pia alipigwa faini ya dola 674 kutokana na kisa hicho kilichotokea kwenye klabu ya burudani mwezi Mei mjini Paris.
Hata hivyo atabaki kuwa huru akisubiri rufaa, ikiaamsiha kuwa nawza kuichezea PSG katika ligi ya mabingwa siku ya Jumatano.
No comments:
Post a Comment