Selena Gomez hana habari na Justin Bieber tena…ala ‘Goodtime’ na mwanaume mwingine Dubai
Katika ziara yake Dubai Selana ameonekana kuwa karibu na mwanaume mmoja kwa jina la Harith Bukhash na kuspend naye muda mwingi huku akionyesha dhahiri kumsahaulisha machungu ya kuachana na mpenzi wake Bieber
“Alikua na wakati mzuri sana Dubai na alikua karibu sana na Harith, imeonyesha Selana ni jinsi gani anatakiwa kufanyiwa kama malkia,chanzo cha habari kilieleza.
No comments:
Post a Comment