Sunday, January 4, 2015

TORESS AKARIBISHWA ATLETICO KIFALME


.

Nakusogezea na hii jinsi Torres alivyotambulishwa Atletico Madrid.

torres 6Hakuna mahali kama Nyumbani na Waingereza huwa wana msemo wao wa ‘Nenda Mashariki, nenda magharibi hakuna sehemu bora kama nyumbani’
Imetokea hiyo kwa Fernando Torres ambaye ametambulishwa leo January 4 2014 mbele ya mashabiki wa timu ya Atleticio Madrid baada ya kukamilika kwa usajili wake wa mkopo wa miezi 18 toka AC Milan.
Mashabiki wapatao 40,000/= waliujaza uwanja wa nyumbani wa Atletico Madrid maarufu kama Estadio Vicente Calderon wakiwa wamevalia jezi za Atletico Madrid na wengine wakiwa na jezi za timu za zamani za mshambuliaji huyo.
Mashabiki 40,000 wakiwa wameujaza uwanja wa Vicente Calderon kumshuhudia Fernando Torres akitambulishwa baada ya kukamilisha usajili .
Mashabiki 40,000 wakiwa wameujaza uwanja wa Vicente Calderon kumshuhudia Fernando Torres akitambulishwa baada ya kukamilisha usajili .
Torres akichezea Mpira mbele ya mashabiki waliokuja kushuhudia utambulisho wake .
Torres akifanya yake mbele ya mashabiki waliohudhuria kutambulishwa kwake.
Torres akiongea na waandisi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano ndani ya uwanja wa Vicente Calderon.
Mbele ya Waandishi wa habari
nando
torres 4

No comments:

Post a Comment