Tuesday, October 13, 2015

JK, AZINDUA MRADI WA KUFUA UMEME WA KINYEREZI

Rais Kikwete azindua mradi wa Umeme Gesi Asilia Kinyerezi

unnamedN
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe na kufunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua rasmi mtambo wa kufua umeme kutokana na Gesi Asilia huko Kinyerezi jijini Dar es Salaam.Mradi huo umejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 400.Kushoto ni mwakilishi wa benki ya African Development Bank(ADB) Tonia Kandiero na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO  Felchesmi Mramba.
unnamedDD
unnamedDDS unnamedFF
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea mradi wa kufua umeme kutokana na gesi asilia muda mfupi baada ya kuzindua mradi huo huko Kinyerezi jijini Dar es Salaam Oktoba 13, 2015.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment