Pogba kufanyiwa vipimo vya afya Manchester United
Pogba, 23, amekuwa akihusishwa na kuhamia Old Trafford kwa bei ya kuvunja rekodi ya dunia ya ununuzi wa wachezaji ya pauni milioni moja.
Pogba alichezea United mwisho dhidi ya Wolves Machi 2012
Akiwa Old Trafford Pogba alichezeshwa katika mechi 3 pekee.
Meneja wa United Jose Mourinho alikuwa amedokeza kwamba klabu hiyo ilikuwa imekaribia sana kumpata Pogba.
"Kwa sasa, Pogba ni mchezaji wa Juventus," amesema Allegri.
United wataanza msimu kwa mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Leicester City Jumapili.
Juventus wataanza msimu wao Serie A wiki moja baadaye tarehe 20 Agosti.
No comments:
Post a Comment