Uteuzi mwingine wa Rais Magufuli May 04 2016
Taarifa kutoka Ikulu May 04 2016 imeeleza kuhusu uteuzi alioufanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli, Rais Magufuli amemteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza.
Asha-Rose
Migiro anakwenda kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Peter Kalaghe
ambaye amerudishwa nyumbani. Asha-Rose Migiro ataapishwa kesho Alhamisi
tarehe 05 Mei, 2016 katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapa hapa tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment