Saturday, December 13, 2014

DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA MOMBASA

Ni Diamond Platnumz Mombasa usiku wa kuamkia leo akina Nyota Ndogo kwenye ‘Mashariki Festival’

Ni Diamond Platnumz Mombasa usiku wa kuamkia leo akina Nyota Ndogo kwenye ‘Mashariki Festival’

4X7A9749
Desemba 12 ni siku ambayo Kenya inasherehekea  maadhimisho miaka 51, ya Sikukuu ya Jamhuri,  sherehe hizo zinafanyika katika Uwanja wa Nyayo na zinagegemewa kuwa fupi tofauti na miaka mingine.
Mastaa walifanya  show kwenye Mashariki Festival ambayo hufanyika usiku huo Mombasa, Kenya huku Diamond Platnumz alikuwa mmoja kati ya wasanii hao ambae amealikwa.
Hizi ni picha alizoweka msanii huyo akiwa  Mombasa jan, msafara wa mapokezi yake ulisindikizwa na gari za Polisi.

No comments:

Post a Comment