Ile issue ya Escrow, hii ni taarifa ya Kiongozi mmoja kujiuzulu leo December 16
Wakati watu wengi wakisubiri maamuzi
yatakayotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya
Kikwete kuhusiana na Ripoti juu ya issue ya ubadhilifu wa fedha kwenye
akaunti ya Escrow, leo December 16 kuna taarifa iliyotufikia muda mfupi
iliopita kuhusu kiongozi mmoja wa Serikali kujiuzulu.
No comments:
Post a Comment