Wakazi
wa Chumvini kata ya Chumbageni Tanga wakisubiri kuitwa majina yao ili
kuingia ndani na kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa jana,
watu wengi wamelalamika utaratibu wa kuitwa majina tofauti na mfumo
uliozoeleka wa kupanga foleni.
Picha ya tatu chini hadi ya mwisho wakazi wa Chumbageni Tanga wakiwa katika
mkusanyiko kusubiri kuitwa jina ili kuweza kuingia ndani kupiga kura
wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa jana, watu wengi wameulalamikia
mfumo huo na ule uliozoeleka wa kupanga foleni kutegemea mtu anavyowahi., ni kawaida kumekucha blog kukupa kila linalojiri pahala popote wakati wowote, usipitwe na habari fungua kumekucha blog kila wakati





No comments:
Post a Comment