Ni Happiness Watimanywa… Tanzania kwenye rekodi nyingine kubwa Miss World 2014
Happiness Watimanywa, mwakilishi wa
Tanzania kwenye mashindano hayo ameshare na sisi taarifa nyingine nzuri
kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Happiness kaandika hivi; “Hey
guys. Siwezi amini kuwa tumefika namba 2. Tuongeze bidii maana nchi
nyingine pia wako bize na kura. Lets do this Tanzania!!!! Naamini pamoja
tutafika. #votevotevote #PigaKuraSasa#DownloadTheApp#HuuNiMwakaWetu“– @happinesswatimanywa
No comments:
Post a Comment