Kutoka Kenya, maiti iliyozikwa baada ya mgogoro wa miaka mitano
Furaha hiyo ilitokana na kitendo cha
Mahakama kuruhusu mazishi ya ndugu wa familia hiyo huko Kenya baada ya
mwili wa marehemu huyo kukaa zaidi ya miaka mitano ndani ya chumba cha
kuhifadhia maiti kutokana na kesi ya mgogoro wa ardhi uliokuwepo kati ya
marehemu na ndugu yake.
Ardhi ambayo ilikuwa ikigombaniwa ni
sehemu ambapo alipaswa kuzikwa marehyemu huyo, hivyo0 kutokana na kesi
hiyo wakshindwa kuzika, wiki hii Mahakama kuu ya Nyeri iliruhusu mwili
huo kuzikwa eneo hilo ambalo lilikuwa na mgogoro wa muda mrefu.
Kutoka kwenye taarifa iliyoripotiwa na Kituo cha K24, mwanakijiji mmoja alisema; “…
sisi tulipanga mazishi huyu kijana hakuweza kuzikwa kwa sababu huyu
Mzee alienda kotini na kuweka ile munaita Court Injunction kwamba hawezi
kuzikwa katika hili shamba, kwasababu iko na kesi na shamba ni yake kwa
hiyo mutu hawezi kuzikwa katika hiyo shamba yake, hiyo ndiyo kesi
imekuwa ikiendelea
No comments:
Post a Comment