Hali ya hewa ilichafuka ndani ya Bunge Kenya leo… Tazama Video na Pichaz hapa
Wabunge wa upinzani walipinga muswada
huo kwa kutupa karatasi chini, Bunge likaahirishwa ambapo hali ya hewa
ilikuwa mbaya na baadaye Wabunge hao kupigana, wengine wakichaniana nguo
na hata kuumizana.
Wabunge wa Upinzani waligomea muswada huo na kuanza kuimba, Bunge hilo likasitishwa.
Nimekurekodia sauti wakati habari hiyo ikiripotiwa na kituo cha WBS unaweza kubonyeza play kuisikiliza, pia kuna video kutoka K24 ambayo unaweza kuitazama hapa.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,kumekuchablog
No comments:
Post a Comment