Thursday, December 18, 2014

BWANA HARUSI ALIYEPATWA NA MAUZAUZA YAMUIBIKIA TENA

Hekaheka ya leo December 18 iko hapa, ni muendelezo wa ile ya bwana harusi aliyepatwa mauzauza Tanga


Hekaheka ya leo December 18 iko hapa, ni muendelezo wa ile ya bwana harusi aliyepatwa mauzauza Tanga

HEKAHEKA-2013
Hekaheka ya leo December 18 inatokana na ya December 11 ambapo ilikuwa inatoka Tanga ambapo jamaa mmoja mwenyeji wa Tabora alikwenda huko kwa lengo la kuoa na baada ya hapo akakutana na mauzauza ambapo watu walikuwa wakimchukua na kumpeleka sehemu mbalimbali huku wakitaka kumkata ulimi.
Mara ya mwisho jamaa huyo kusikika siku hiyo alikuwa hana hali nzuri kutokana na kujisikia kuumwa, leo amesikika tena ambapo amesema kuwa watu hao walimchukua, tena safari hii ndugu wa mkewe walishuhudia akichukuliwa katika mazingira yaleyale ya ajabu, anasema waliomchukua wamemwambia kwamba eti hakupiga hodi wakati anaingia Tanga kwa ajili ya kuoa.
Hali yake bad

No comments:

Post a Comment