Wednesday, December 3, 2014

Kero ya maji Handeni

 Wakazi wa Mkata Wilayani Handeni Mkoani Tanga, wakishusha madungu ya maji kutoka kwenye lori baada ya Wilaya hiyo kuwa na kero ya maji kwa miaka mingi, Dungu moja la maji lilikuwa liiuzwa kati ya shilingi 2,000 hadi 2,500.





No comments:

Post a Comment