Sunday, December 14, 2014

MORANI, BURUDANI

 Wafugaji jamii ya Kimasai kijiji cha Kalalani Wilayani Korogwe Mkoani Tanga wakitoa burudani wakati wa sherehe za kila mwaka za kuuwaga mwaka na kukaribisha mwaka mpya ambapo ndani ya sherehe hizo hutolewa elimu ya kupinga tohara kwa wanawake na mimba za utotoni.





No comments:

Post a Comment