Huu ndio ujumbe wa mtoto wa marehemu Aisha Madinda baada ya mazishi kuahirishwa
Feysal Madinda ambaye ni mtoto wa marehemu Dec 18 amepost ujumbe kwenye instagram na kuandika taarifa za kuahirishwa kwa mazishi ya mama yake Aisha Madinda ikiwemo na siku atakayozikwa endapo upelelezi utakapokamilika.
No comments:
Post a Comment