Afisa mradi
wa Asasi ya Kiraia ya Tree of Hope, Goodluck Malilo wakitoa elimu ya kuzuia
vitendo vya ukatili wa kijinsia kata ya Maweni Tanga wakati wa kuadhimisha siku 16 za kupiga vita
unyanyasaji wa kijinsi sambamba na kampeni
ya Tunaweza iliyolenga kusajili wanabadiliko wanaume kwa wanawake
watakaokuwa mstari wa m,bele kukemea na kupinga vitendo vya ukatili wa
kijinsia.
Wanaharakati wa Asasi ya Kiraia Tree of Hope ya Tanga wakiwasajili wanawake na wanaume katika kampeni ya Tunaweza inalolenga kusajili kuleta mabadiliko katika kupiga vita vitendo vya ukatili wa kijinsia wakati wa maadhimisho ya siku 16 za kupiga vita Ukatili wa Kijinsia yaliyoadhimishwa Kichangani kata ya Maweni Tanga





No comments:
Post a Comment